Ijumaa, 22 Novemba 2013

Zitto azua mjadala mzito Chadema

Zitto ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, mwanzoni mwa Novemba mwaka huu aliingia katika malumbano na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kuhusiana na masuala ya posho, akituhumiwa na Lema kuwa anakataa posho za vikao bungeni, lakini anapokea posho kutoka mashirika mbalimbali nchini. 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni