Zitto ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, mwanzoni mwa Novemba mwaka huu
aliingia katika malumbano na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema
kuhusiana na masuala ya posho, akituhumiwa na Lema kuwa anakataa posho
za vikao bungeni, lakini anapokea posho kutoka mashirika mbalimbali
nchini.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni