Ijumaa, 22 Novemba 2013

Mtindio wa ubongo: Sababu ya watoto wengi kubaguliwa, kunyanyapaliwa

Kitaalamu, mtindio wa ubongo unaelezwa kuwa ni hali inayompata mwanadamu kwa ubongo wake kushindwa kufanya kazi katika utaratibu wa kawaida. Kimsingi, ni uwezo wa ubongo kutokukua vizuri na kushindwa kufanya kazi yake katika mazingira yake ya kawaida.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni